إِنَّهُۥ لَقَوْلُ رَسُولٍۢ كَرِيمٍۢ ﴿١٩﴾
Kwamba hakika bila ya shaka hii ni kauli ya Mjumbe mtukufu,
ذِى قُوَّةٍ عِندَ ذِى ٱلْعَرْشِ مَكِينٍۢ ﴿٢٠﴾
Mwenye nguvu na mwenye cheo kwa huyo Mwenye Kiti cha Enzi,
وَلَقَدْ رَءَاهُ بِٱلْأُفُقِ ٱلْمُبِينِ ﴿٢٣﴾
Na hakika yeye alimwona kwenye upeo wa macho ulio safi.